
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Alhamdulillah, nimebarikiwa kushiriki na kuwasilisha mada katika semina ya vijana iliyoandaliwa na wanafunzi wa Kishia wa vyuo vikuu mjini Dodoma kwa ushirikiano na Bilal Muslim Mission of Tanzania.
Mada ya semina hiyo ilikuwa: “Wajibu wa Vijana katika Kipindi cha Ghaibah ya Imam Mahdi (a.t.f.s)”, ambapo takribani vijana 250 walishiriki.
Your Comment